WASANII AFRICA WANAO MILIKI PRIVATE JET.
Davido ambae ni msanii pia ni baba Anamiliki ndege yake binafsi ambayo huwa anaitumia katika tour zake za muziki sehem mbalimbali duniani.
Davido akionesha Ndege yake binafsi.
WIZIKID
Licha ya kuwa na Umri mdogo Wizikid ni msanii tajiri pia anamiliki ndege yake binafsi.
Wizkid & Phyno katita private jet yake.
P-Square
baada ya kutumia hela nyingi kukodi ndege kwa muda mrefu kwa ajili ya tour zao kimuziki waliamua kununua Ndege yao binafsi.
ndani ya Jet inayomilikiwa na P-Square.






Nc
ReplyDelete